Usawirishaji wa Uhusika katika riwaya za Rosa Mistika na Maisha Kitendawili
Keywords:
fani, mbinu, mtindo, sanaa, uhusika, usawiri, wahusikaAbstract
Makala hii inajadili usawirishaji wa uhusika katika riwaya za Rosa Mistika na Maisha Kitendawili. Kipengele cha wahusika ni muhimu katika kazi ya fasihi kwani hushirikiana na vipengele vingine vya fani ili kutoa ujumbe wa kazi ya fasihi. Kwa kawaida wahusika hujengwa kisanaa na mwandishi ili waweze kuwasilisha dhana mbalimbali za maisha katika jamii. Kwa hivyo lengo la makala hii ni kuchambua uwashirishaji wa wahusika wakuu katika riwaya za Rosa Mistika ya Euphrase Kezilahabi na Maisha Kitendawili ya John Habwe Kwa kawaida wahusika hujengwa kisanaa na mwandishi ili waweze kuwasilisha dhana mbalimbali za maisha katika jamii. Kipengele cha wahusika ni muhimu katika kazi ya fasihi kwani hushirikiana na vipengele vingine vya fani ili kutoa ujumbe wa kazi ya fasihi. Mwandishi huwajenga wahusika wake kwa kutumia mbinu mbalimbali ili kuwatofautisha na kuiwezesha hadhira yake kutambua sifa za mhusika fulani na kutofautisha na mhusika mwingine katika kazi ya fasihi. Kwa hivyo lengo la makala hii ni kubainisha mfanano wa wahusika wakuu katika riwaya za Rosa Mistika (Euphrase Kezilahabi) na Maisha Kitendawili (John Habwe). Ili kufikia lengo la makala hii tumeongozwa na nadharia ya udhanaishi. Nadharia hii imetuwezesha kubainisha sifa za wahusika wakuu kama zilivyosawiriwa na waandishi.
Published
How to Cite
Issue
Section
Copyright (c) 2023 Shadrack Tete Muia, John Mutua, Vifu Makoti
This work is licensed under a Creative Commons Attribution-NonCommercial-ShareAlike 4.0 International License.
This open-access article is distributed under a Creative Commons Attribution (CC-BY) 4.0 license.
You are free to: Share — copy and redistribute the material in any medium or format. Adapt — remix, transform, and build upon the material for any purpose, even commercially. The licensor cannot revoke these freedoms as long as you follow the license terms.
Under the following terms: Attribution — You must give appropriate credit, provide a link to the license, and indicate if changes were made. You may do so in any reasonable manner, but not in any way that suggests the licensor endorses you or your use.
No additional restrictions You may not apply legal terms or technological measures that legally restrict others from doing anything the license permits.
How to Cite
Similar Articles
- Juma Nyongesa Job, Matumizi ya jazanda katika uwasilishaji wa mashairi ya Euphrase Kezilahabi na Kithaka wa Mberia , Research Journal in African Languages: Vol. 3 No. 3 (2022)
- Thedius Bwire Ojiambo, Filamu za runinga kama chombo kinachomdhalilisha mwanamke wa kiafrika katika asasi ya ndoa , Research Journal in African Languages: Vol. 2 No. 3 (2021)
- Job Juma, Tasfida kama sababu ya Siti binti Saad kutumia mafumbo katika nyimbo zake za taarab , Research Journal in African Languages: Vol. 3 No. 1 (2022)
- Shadrack Tete Muia, John Mutua, Vifu Makoti, Mchango wa mandhari katika kusawirisha ujumbe wa mwandishi katika riwaya ya Maisha Kitendawili , Research Journal in African Languages: Vol. 4 No. 1 (2023)
You may also start an advanced similarity search for this article.
Most read articles by the same author(s)
- Shadrack Tete Muia, John Mutua, Vifu Makoti, Mchango wa mandhari katika kusawirisha ujumbe wa mwandishi katika riwaya ya Maisha Kitendawili , Research Journal in African Languages: Vol. 4 No. 1 (2023)