Matumizi ya taswira katika usawiri wa mashairi ya Euphrase Kezilahabi na Kithaka wa Mberia

Authors

  • Job Juma Chuo Kikuu Cha Kenyatta

Keywords:

Euphrase Kezilahabi Kithaka wa Mberia

Abstract

Makala hii imechunguza taswira na viwango vya taswira vinavyotumika katika usawiri wa maudhui ya ukoloni mamboleo na uchumi. Aina mbalimbali za taswira za lugha zimechanganuliwa. Taswira imegawika katika matapo mawili makuu: ishara na maelezo. Wamitila anachanganua zaidi taswira na kuibuka na taswira za uoni, za harufu, za joto, za mguso, za mwonjo na usikivu. Senkoro (1982:37) anatambua makundi matatu makuu ya taswira: zionekanazo, za mawazo na hisi. Taswira zionekanazo ni taswira za kiishara. Taswira za mawazo ni za kidhahania, ilhali taswira za hisi huibua hisi fulani mawazoni. Taswira za hisi hushughulikia mielekeo ya kihisia ya msomaji kuhusu hali fulani. Huweza kumfanya msomaji awe na wasiwasi, aone woga, au apandwe na hasira kwa vile hujihusisha na hisi za ndani. Taswira hizi zina nguvu kubwa ya kuganda akilini na kumwezesha msomaji kuupata ujumbe wa mtunzi vizuri. Kulingana na Senkoro (1982), taswira za hisi huweza pia kujengwa ndani ya tamathali. Utafiti huu ulitumia msingi wa nadharia ya Mtindo ilioasisiwa na Buffon (1930) na kuendelezwa na Leech (1969). Mtindo ni elementi ya kimsingi katika maana ya jumla ya kazi ya fasihi lakini ni kupitia maudhui ndipo maana halisi ya mitindo iliyotafitiwa imeweza kujitokeza. Hauwezi zungumzia mitindo bila kuzungumzia maudhui. Maudhui ya ukoloni mamboleo na uchumi yalitumika katika utafiti kwa vile ni mojawapo ya maudhui yanayoweza kubeba mabadiliko yanayoshamiri katika mitindo ya kishairi. Kwa hivyo, si kwamba maudhui mengine hayangetumika katika utafiti huu. Mashairi yaliyoteuliwa ndiyo yamechunguzwa katika utafiti huu. Mashairi yanayohusu maswala ya ukoloni mamboleo na uchumi yamechanganuliwa kwa kuegemea mihimili ya nadharia ya mtindo. Mihimili ya nadharia hii ya mtindo itatumika kuchanganua ulinganifu na utofauti uliopo katika uasilishaji wa mashairi. Ndiposa ufanano au utofauti uliopo katika kazi za washairi hawa  ziweze kudhihirika.

References

Allen, G. 2000. Intertextuality: New York: Routledge 29 West 35th Street.

Arnold, M. 1849. The Strayed Reveller and other Poems. Fellowers; Ludgate Street.

Babusa, H.O. 2005. Vigezo Badalia Kuhusu Uainishaji wa Mashairi ya Kiswahii. Tasnifu ya

M.A. Chuo Kikuu Cha Kenyatta. (Haijachapishwa)

Bakhtin, M. 1981. Theory of the Text. London: Routledge.

Coombes, H. 1953. Literature and Criticism. London: Chatto and Windus.

Culler, J. 1982. The Pursuit of signs. London: Rotledge and Kegan Paul.

Indede, F. N. 2008. Mabadiliko katika Umbo la Ushairi na Athari zake katika Ushairi wa Kiswahili. Swahili Forum no. 15 (uk73-94).

Kahigi, K.K na Mulokozi, M. M. 1982. Kunga za Ushairi na Diwani ya Yetu. Dar essalam.Tanzania Publishing House.

Kezilahabi, E. 1973. The Development of Swahili Poetry: 18th-20th Century. Kiswahili Juzuu 42/2. TUKI, Chuo Kikuu Cha Dar es salaam.

Kezilabi, E. 1974. Kichomi. London: Heineman.

¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬¬Kezilahabi, E. 1988. Karibu ndani. Dar es salaam: University Press.

Kuhenga, C. 1977. Tamathali za Usemi. Dar es Salaam: East Africa Literature Bureau.

Heidigger, M. 1971. Poetry, Language And Thought. New York: Haper and Row publishers

Leech, G. 1969. A linguistic Guide toEnglish Poetry. London.Longman.

Leech, G. 2008. Language in Literature. London. Pearson Education Limited.

M. A. Chuo Kikuu Cha Kenyatta.

Masinde, E. 2003. Ushairi wa Kiswahili: Maendeleo na Mabadiliko ya Maudhui. Tasnifu ya

Uzamivu, Chuo Kikuu Cha Kenyatta. (Haijachapishwa)

Mberia, K, 2007. Msimu Wa Tisa. Nairobi: Marimba Publication.

Mberia, K. 2001. Bara Jingine. Nairobi: Marimba Publication.

Mlokozi, M. M. 1995. History of Kiswahili Poetry. Dar es Salaam: Institute of Kiswahili Research.

Mlokozi, M. M. 1996. Utangulizi wa Fasihi ya Kiswahili. Daresalaam: TUKI.

Momanyi, C. 1991. Matumizi ya Taswira kama Kielelezo cha Uhalisi katika Utenzi wa Al-

Inkishafi. Tasnifu ya M.A. Chuo Kikuu Cha Kenyatta. (Haijachapishwa).

Msokile, M. 1993. Misingi ya Uhakiki wa Fasihi. Nairobi: East Africa Education Publishers

Mwania, J. 2007. Usambamba katika Ushairi Huru. Tasnifu ya M. A. Chuo Kikuu cha Kenyatta.

Nairobi: East African Educational Publishers Ltd.

Ndumbu M. J. 2011. Matumizi ya Takriri na Sitiari Katika Uteuzi wa Rasttlghuli. Tasnifu ya M. A. Chuo Kikuu cha Nairobi. (Haijachapishwa).

Ndungo C.M. na Wafula, R.M. 1993. Nadharia ya Fasihi Simulizi. Nairobi: University of

Nairobi Press.

Ndungo, C. M 2006. The Image of Women in Afrika Oral Literature. A case study of Gikuyu oral literature. Gender issues Research Report Sereis No. 23. (Uk 19-24)

Ndwiga, P. N. 2013. Mitindo Katika Mashairi ya Diwani ya Karne Mpya. Tasnifu ya M.A Chuo Kikuu Cha Kenyatta. (Haijachapishwa).

Njogu, K. na Chimera, R. 1999. Ufundishaji wa Fasihi: Nadharia na Mbinu. Nairobi: Jomo Kenyatta Foundation.

Okwena, S. 2013. Matumizi ya Jazanda katika Tamthilia tatu za Timothy Arege. Tasnifu ya kufuzu cheti cha Uzamili, Chuo Kikuu Cha Kenyatta. (Haijachapishwa).

Simpson, P. 2004. Stylistic: A Resourse Book for Students. London: Routledge.

Senkoro, F . E. M. K. 1988. Ushairi Nadharia na Tahakiki. Dar es salaam: Press and Publicity.

Senkoro, F. E. M. K. 1982. Fasihi. Dar-es – salaam: Press and Publicity center.

TUKI 2004. Kamusi ya Kiswahili sanifu. Nairobi: Oxford University Press.

Wafula, R. na Njogu, K. 2007. Nadharia za Uhakiki wa Fasihi. Nairobi. Routledge publishers.

Wamitala K. W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Stilahi na Nadharia. Nairobi: Nairobi Focus.

Wamitila K. W. 2003. Kichocheo cha Fasihi na Andishi. Nairobi: Nairobi Focus.

Wamitila K. W. 2008. Kanzi ya Fasihi: Misingi ya Uchanganuzi wa Fasihi. Nairobi: Vide Muwa.

Wamitila, K. W. 2002. Uhakikiki wa Fasihi: Misingi na Vipengele Vyake. Nairobi: Phoenix

Published

2022-04-05

Issue

Section

Articles

How to Cite

Matumizi ya taswira katika usawiri wa mashairi ya Euphrase Kezilahabi na Kithaka wa Mberia. (2022). Journal of African Studies and Ethnographic Research, 4(1). https://royalliteglobal.com/african-studies/article/view/762

Similar Articles

1-10 of 14

You may also start an advanced similarity search for this article.