Sintaksia Ya Kirai Kijalizo Na Uchopoaji Wa Viambajengo Katika Kiswahili

Main Article Content

Joseph Wanyonyi Mulalu

Abstract

Kazi hii imeshughulikia sintaksia ya Kirai kijalizo (Kkijzo) na uchopoaji wa viima katika sentensi za Kiswahili. Viambajengo katika sentensi ya Kiswahili huweza kuchopolewa kutoka kiwango cha kirai wakati (Kwkt) na kutua katika kiwango cha Kkijzo. Kutokana na wingi wa dhima za viambajengo vinavyochopolewa na kutua katika kiwango cha Kkijzo, mbali na virai vya kidesturi vya Kkijzo kazi hii imependekeza kupanuliwa kwa Kkijzo ili kijumuishe virai vya ziada kama vile: Kirai arifu na Kirai kiwakilishi. Aidha kazi hii, imechunguza mofosintaksia ya vijalizo changamano ndi- na amba- na kipatanisho kijalizo -o- kama vipashio vinavyotumika kuchopoa viambajengo katika sentensi za Kiswahili. Lengo hasa la utafiti huu ni kubaini nafasi zinazokaliwa na viambajengo hivi vya uchopoaji kwa mujibu wa muundo mzima wa sentensi zilizochopolewa. Uchanganuzi wa data katika karatasi hii utafanywa kwa kujikita kwa nadharia ya Kanuni Finyu hasa mapendekezo ya hivi karibuni ya kigezo cha ugandaji wa kiima.

Downloads

Download data is not yet available.

Article Details

How to Cite
Mulalu, J. W. (2017). Sintaksia Ya Kirai Kijalizo Na Uchopoaji Wa Viambajengo Katika Kiswahili . Nairobi Journal of Humanities and Social Sciences, 1(9). https://doi.org/10.58256/njhs.v1i9.800
Section
Articles

How to Cite

Mulalu, J. W. (2017). Sintaksia Ya Kirai Kijalizo Na Uchopoaji Wa Viambajengo Katika Kiswahili . Nairobi Journal of Humanities and Social Sciences, 1(9). https://doi.org/10.58256/njhs.v1i9.800

References

A Dictionary of Linguistics and Phonetics (2008), 6th Ed.

Diercks, M., (2010). Agreement with Subjects in LuBukusu. PhD Dissertation. Georgetown University.

Taraldsen, C., (2001).Subject extraction,the distribution of expletives and stylistic inversion.in inversion in Romance and theory of universal grammar, ed, by A. Hulk and J-Y.Pollock.Oxford:Oxford University Press.

Ashton, (1945). A Luganda Grammar. London : Longmans, Green.

Austen, (1974). Aspects of Bukusu syntax and phonology.PhD dissertation. Indiana

Boskovic, Z., (2007).On the locality and motivation of Move and Agree :An even more minimal theory.Linguistic Inquiry 38:589-644.

Boskovic, Z., (2008). On Successive Cyclic Movement and the Freezing Effect of Feature checking, In Sounds of Silence: Empty Elements in Syntax and Phonology, ed by J. Hartmann, V. Hegedus, H. Van Riemsdjik, 195-233. Amsterdam Elsevier.

Bresnan, J., (1977). “The variables in theory of transiformations” in Peter W Colicover, Thomas Waso and Adrian Akmajian edts, papers from the MSSB-UC Irvine conference on the formal syntax of natural languages, 157-96, Academic press.

Buell, L., (2002). Swahili amba-less clauses without head movement. UCLA working papers in African Linguistics 2, 86 – 106, No. 8 UCLA In Working Paper in Linguistics

Cardinaletti, A., ( 2004).Towards a Cartography of Subjects Position.In the structure of CP and IP,edited by Luigi Rizzi,115-165. New York:Oxford University Press

Chomsky, N.,(2000). Minimalist Inquiries: The Framework. Step by Step: Essays on Minimalist Syntax in honor of Howard Lasik. Martin, D. Michaels and J. Uriagereka (eds). Cambridge, Mass: MIT Press.

Fox, D, (1999). Economy and Semantics Interpretation. Cambridge: MIT Press.

Henderson B. (2005). The case for corncord: the multiple agreement in Bantu in the proceedings of the 36th Annual meeting on the North East Linguistic society (NELS 36th) Amherst, MA.

Palome, E., (1967). Swahili Language Handbook, Washington DC Center of Linguistics.

Perlmutter, (1971). Deep and surface structure constraints in syntax. New York: Holt Rinehart and Winston.

Perlmutter, (1986). Deep and surface structure constrains in Syntax. Doctorial dissertation, Massachusetts Instutute of Technology.

Radford, A., (2009). Anasying English sentenses: A Minimalist Approach. Cambridge University Press New York.

Reinhart.A.,(2006). Interface Strategies: Optimal and costlu Computations. Cambride: MIT Press.

Richards, L. (2001). Movement in Language Interactions and Architecture, Oxford University Press.

Rizzi, L & Shlonsky,( 2007).On some propertiesof CriterialFreezing. In CISL working papers on language and cognition, Vol 1, edited by V.Moscati,145-158. Interdepartmental Centre for Cognitive Studies of Language, University of Sienna.

Rizzi, L., (1997). ‘The Fine Structure of the Left Perifery’ In Elements of Grammar, edited by Haegeman,L. 281-337. Dordrecht: Kluwer Academic Publishers.

Rizzi, L.,(2004).‘Locality and left periphery’, in A Belleti (ed.) Structures and Beyond: The cartography of syntactic structures,vol III,Oxford University Press,pp.223-251.

Rizzi, L.,(2006). ‘ 0n the form chains.Criterial positions and ECP effects in Cheng and Corver 2006, pp 97-133

Wasike, A, (2007).The left periphery wh-in-situ and A- bar movement in Lubukusu and other Bantu languages.phD dissertation, Cornell University.

Waxler & Culicover, (1982). Formal Principles of Language Acquistion. Cambridge, MIT Press.